HALI ILIVYOKUWA WAKATI WA VURUGU MKOANI MTWARA JANA

Moja ya nyumba ikiteketea wakati wa vurugu mkoani Mtwara ambapo magari 18, pikipiki 7 viliteketezwa kwa moto  vyote vikiwa ni mali za halmashauri ya Masasi na baadhi ni vya watumishi wa halmashauri hiyo.

Gari la wagonjwa likiteketea kwa moto.

Sehemu ya magari yakiendelea kuteketea kwa moto.

Jengo la Mahakama lililochomwa moto.

Chumba cha Jenereta kilichochomwa moto.

Nyumba inayosemekani ni nyumba ya waziri ikiwa imeharibiwa vibaya.

Nyumba inayosemekana ni ya Mwenyekiti wa CCM baada ya kuharibiwa.



Hivyo ndivyo hali ilivyokuwa wakati wa vurugu hizo.
(Picha Zote na Siraji Nalikame)

FRONT PAGE UDADU UDAKUZI:LULU URAIANI KWA M 20,WEMA AANZISHA VITA VYA AJABU:"


.

.

.

.

0 comments:

Post a Comment