SABABU ZA DRAKE KUZUIWA NA MABAUNSA KUINGIA CLUB
![]() |
Mtandao wa TMZ umeripoti kwamba rapper Drake alizuiwa kuingia kwenye club moja ya usiku huko Hollywood Marekani weekend iliyopita.
Sababu hasa ni kwamba hasimu wake, staa mwenzake ambae mwaka jana walirushiana chupa kwenye club moja ya usiku, mwimbaji Chris Brown tayari alikua ameshaingia ndani kwenye club hiyo hivyo mabaunsa walifanya kile walichoelekezwa cha kutoruhusu hizo sura mbili kuingia kwenye club hiyo kwa wakati mmoja. |
.
![]() |
Rihanna, Drake na Chris Brown, hii picha ilipigwa kabla hawajagombana.
|
0 comments:
Post a Comment