TAPELI ANAYETUMIA JINA LA WAZIRI LUKUVI AMTAPELI LOWASSA IRINGA

Tapeli  anayetapeli  watu maeneo mbali mbali ya Tanzania  kupitia jina la  waziri Lukuvi akiingizwa ktk  gari maalum leo
Tapeli  Jonathan Wiliam Lukuvi feki akitiwa matatani askari kanzu  Iringa
Mkuu  wa  mkoa  wa Iringa Dkt  Christina  Ishengoma ,askofu Dkt  Boaz Sollo na Waziri mkuu wa  zamani Edward  Lowassa akimsikiliza tapeli huyo akimpa maneno ya kitapeli  Lowassa
Kijana  huyo Tapeli akimsomesha  waziri Lowassa ukumbini kwa kuahidi kuchangia 100,000 huku akimwomba  kumsaidia misaada  zaidi
Hapa akipelekwa  katika gari maalum Hapa akiingizwa katika Taxi tayari  kwenda  polisi
Kijana ambae amekuwa akiwaliza  watumishi mbali mbali wa umma na watu  binafsi  kwa  kutumia jina la waziri wa nchi  ofisi ya  waziri mkuu  sera na uratibu  wa bunge kijana Jonathan Wiliam Lukuvi( si jina lake halisi)amekamatwa katika hafla ya kanisa la Overcomers FM akitaka  kumtapeli  waziri mkuu  wa zamani  Edward Lowassa kupitia harambee  hiyo.

0 comments:

Post a Comment