![]() |
| Tapeli anayetapeli watu maeneo mbali mbali ya Tanzania kupitia jina la waziri Lukuvi akiingizwa ktk gari maalum leo |
![]() |
| Tapeli Jonathan Wiliam Lukuvi feki akitiwa matatani askari kanzu Iringa |
![]() |
| Mkuu wa mkoa wa Iringa Dkt Christina Ishengoma ,askofu Dkt Boaz Sollo na Waziri mkuu wa zamani Edward Lowassa akimsikiliza tapeli huyo akimpa maneno ya kitapeli Lowassa |
![]() |
| Kijana huyo Tapeli akimsomesha waziri Lowassa ukumbini kwa kuahidi kuchangia 100,000 huku akimwomba kumsaidia misaada zaidi |
![]() |
| Hapa akipelekwa katika gari maalum Hapa akiingizwa katika Taxi tayari kwenda polisi |












0 comments:
Post a Comment