HIVI NDIVYO WEMA SEPETU ALIVYOFUTURISHA NYUMBANI KWAKE..!!


Mrembo anayetamba kwenye filamu za Kibongo, Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ au Madam jana alifuturu pamoja na wageni wake nyumbani kwake Kijitonyama jijini Dar es Salaam. 
WEMAAFUTURU3
WEMAAFUTURU1
http://watemi.com/maraha/wp-content/uploads/sites/4/2013/07/WEMAAFUTURU5-240x306.jpg 
Baadhi ya wageni waliofuturu pamoja na Wema ni pamoja na Omar Nyembo ‘Ommy Dimpoz’, Petit Man ‘Wakuache’ na wengineo. 

0 comments:

Post a Comment