LAANA:  BABA ANASWA AKIMBAKA KUKU HADHARANI.

 
MWANAMUME mmoja huko Kenya katika kijiji cha Kigwandi, wilayani Tetu anazuiliwa katika kituo kimoja cha polisi mjini Nyeri baada ya kufumaniwa akifanya tendo la ngono na kuku.
Mwanamume huyo mwenye umri wa zaidi ya miaka 50 alikamatwa Alhamisi jioni.Kaimu afisa mkuu wa polisi katika eneo hilo, Bw Joseph Mwika alisema mwanawe mwanamume huyo mwenye umri wa miaka 10 alimuarifu ka'kake mkubwa baada ya kumfumania babake akifanya kitendo hicho na ndipo wawili hao walimripoti baba yao kwa chifu wa eneo hilo ambaye alimkamata na kumpeleka katika kituo cha polisi.
 “Kuku huyo alikuwa wa mwanawe mwanamume huyo aliyeripoti kisa hicho kwa chifu... Kuku huyo ambaye baadaye alikufa alipelekwa katika maabara ili kufanyiwa uchunguzi. Tunasubiri matokeo ya madaktari wa mifugo kabla ya kuchukua hatua,” alisema Bw Mwika

0 comments:

Post a Comment